Pakua vitabu vya dua na dhikr zilizojaribiwa (PDF) na darsa za sauti (MP3). Jifunze dua maalum, siri za majina ya Allah, na amali mbalimbali za kila siku zitakazokusogeza karibu na Mola wako na kutatua changamoto za maisha yako.
"Soma kwa jina la Mola wako aliyeumba..."
Surat Al-Alaq: 1
Pata amali na dua zilizojaribiwa moja kwa moja kwenye simu yako. Chagua bidhaa, lipia kwa simu au kadi, na upate faili lako papo hapo.
Ndugu yangu, Siku ya Arafa ikipita na mfungaji ameomba dua hizi nzito, basi ajiandae kuona miujiza katika maisha yake na…
Hii amali unaweza ifanya ukiwa umefunga inapendeza zaidi na kama hujafunga kuna nia utaiona utabadilisha kutokana na wakati…
Pata amali na dua zilizojaribiwa moja kwa moja kwenye simu yako soma bure
Maqam al-Tafwidh (Daraja la Kukabidhi Mamlaka). Hapa hutumii nguvu zako kuamrisha jambo, bali unampa Mwenyezi Mungu "Usukani" wa maisha yako ili yeye ndiye awe Meneja wa miradi yako,…
Kila kitabu na faili litakalopakuliwa linasajiliwa kipekee kwenye mfumo wetu chini ya Transaction ID yako ya malipo. Ili kuzuia uharamia na usambazaji holela, link uliyopewa itakuwa "LOCKED" (imefungwa) mara tu utakapoikamilisha kuipakua mara ya kwanza. Tafadhali usimpe link yako mtu mwingine; ukifanya hivyo, atafungua link na itakataa kutoa faili!